  | 
| Waziri
 wa habari , Utamaduni Sanaa na Michezo Dk. Harisson Mwakyembe 
akimsikiliza kulia Msanii wa bongo Fleva kutoka Tanzania Ibrahim Musa 
aka Roma Mkatoliki akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa 
habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jioni hii wakati 
akizungumzia sakata la kutekwa kwake paoja na wasanii wenzake katika 
studio ya Tongwe iliyopo Masaki jijini Dar es salaam  | 
  | 
| Msanii
 wa bongo Fleva kutoka Tanzania Ibrahim Musa aka Roma Mkatoliki 
akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari 
Maelezo jioni hii wakati akizungumzia sakata la kutekwa kwake pamoja na 
wasanii wenzake katika studio ya Tongwe Records iliyopo Masaki jijini 
Dar es salaam, Roma ameiomba serikali kuwahakikishia ulinzi wasanii 
pamoja na watanzania kwa ujumla kwakuwa inaonesha hawana usalama kabisa 
kutokana na tukio lenyewe lilivyowatokea , kushoto ni Waziri wa habari ,
 Utamaduni Sanaa na Michezo Dk. Harisson Mwakyembe. | 
Roma Mkatoliki akifafanua zaidi kwa waandishi wa Habari
 
Roma
 akiwaonesha wana habari namna alivyojeruhiwa aliokuwa akiteswa na hao 
watekaji ambao mpaka sasa hawajajulikana ni akina nani,kufuatia 
Uchunguzi wa tukio hilo ukiendelea.
 
Waziri
 wa habari , Utamaduni Sanaa na Michezo Dk. Harisson Mwakyembe 
akimsikiliza kulia Msanii wa bongo Fleva kutoka Tanzania Ibrahim Musa 
aka Roma Mkatoliki akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa 
Idara ya Habari Maelezo jioni hii wakati akizungumzia sakata la kutekwa 
kwake paoja na wasanii wenzake katika studio ya Tongwe iliyopo Masaki 
jijini Dar es salaam, Roma ameiomba serikali kuwahakikishia ulinzi 
wasanii pamoja na watanzania kwa ujula kwakuwa inaoyesha hawana usalama 
kabisa kutokana na tukio lenyewe lilivyowatokea. Kushoto ni Mke wa wa 
Msanii huyo, Bi Nancy.
 
 
Baadhi
 ya Wana Habari wakimsubiri msanii wa Muziki wa Kizazi kipya ajulikanae 
kwa jina la Roma Mkatoliki kuja kuzungumza nao na kuwaeleza 
kilichowatokea 
 
Baadhi ya Wana habari wakifuatilia tukio hilo 
 
 
Waziri
 wa habari , Utamaduni Sanaa na Michezo Dk. Harisson Mwakyembe 
akimsikiliza kulia Msanii wa bongo Fleva kutoka Tanzania Ibrahim Musa 
aka Roma Mkatoliki akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa 
habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jioni hii wakati 
akizungumzia sakata la kutekwa kwake paoja na wasanii wenzake katika 
studio ya Tongwe iliyopo Masaki jijini Dar es salaam 
 
Mke
 wa Roma Mkatoliki Nancy (mwenye kilemba cha bluu) pamoja na baadhi ya 
wasanii wakisubiri kuanza kwa mkutano huo wakati Msanii huyo akijiandaa 
kuzungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la kutekwa kwake kulia 
ni Waziri wa Habari , Utamaduni Sanaa na Michezo Dk. Harisson 
Mwakyembe. 
Waziri
 wa habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Dk. Harisson Mwakyembe 
akiongozana na wasanii Roma Mkatoliki na wenzake ili kuzungumzia sakata 
la Roma Mkatoliki lililotokea hivi karibuni.
 
0 comments: