![](https://m.ak.fbcdn.net/sphotos-d.ak/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/11781616_385632124962725_501668263380191285_n.jpg?oh=67d5499cdbdeee0665eb7ebce69648df&oe=563F87C7&__gda__=1447567196_d4e5181402ce083b9c1a3b0b305b43fd)
Makamu Mwenyekiti akipokea fomu kutoka kwa Waziri Mkuu Mstaafu na aliiyekuwa mbunge wa Monduli kwa tikeki ya CCM Mh. Edward Lowassa
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/11828587_385635364962401_4808179492118929853_n.jpg?oh=c12afa4c268e7f20dbd9a2fe8997f387&oe=56502577)
Mwanasheria wa Chama Mh Mabere Marando akikagua fomu za mgombea urais Mh. Edward Lowassa mara baada tu ya kukabidhi kwa Makamu Mwenyekiti Bara Prof Abdalah Safari
![](https://m.ak.fbcdn.net/sphotos-f.ak/hphotos-ak-xta1/v/t1.0-9/11265002_385634751629129_4624376425039674368_n.jpg?oh=3d2568f78f53a1a653fe2dd8d5bbbe91&oe=56508050&__gda__=1447968217_7dc57daea0934fb873b7bee75ba18dc3)
Naibu Katibu Mkuu Zanznibar Mh Salum Mwalim akimkaribisha Edward Lowassa katika ofisi ya Makamu Mwenyekiti Bara Prof Abdalah Safari
Baadhi ya wabunge walioweza kufika katika tukio la kumshuhudia Edward Lowassa akirudisha fomu Makao Makuu
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11826015_385630801629524_1277594260338425273_n.jpg?oh=10c317663be58ea91116e4e6333c0af8&oe=564DCBEA)
0 comments: