JAJI MUTUNGI AJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 11:53 PM
Mhe. Jaji Francis S.K. Mutungi
akiwa na kitambulisho chake mara baada ya kujiandikisha mapema Leo
katika kituo cha Shule ya Msingi Bunge Jijini Dar es salaam.
Mwandikishaji Msaidizi Bi. Maida
Ally Yusufu akimsainisha Jaji Mutungi fomu ambazo zimebeba taarifa zake
kwa ajili ya kujiandikisha Leo katika kituo cha Shule ya Msingi Bunge
Jijini Dar es salaam
Alama za vidole zikichukuliwa na
Mwandikishaji Bw. Ernest Moses Selelya mara baada ya kukamilisha
taratibu za ujazaji wa fomu ya utambulisho.
Jaji Mutungi akipiga picha kwa ajili ya kitambulisho
Mhe.Jaji Francis Mutungi akipokea kitambulisho cha mpiga kura kutoka kwa Mwandikishaji Bw.Ernest Moses Selelya.
………………………………………………………….
Zikiwa zimebakia siku chache tu
kuisha kwa siku zilizotengwa na Serikali kwa wananchi kujiandikisha
katika daftari la kudumu la mpiga kura kwa mfumo wa BVR katika Jiji la
Dar es salaan,
Picha no 2479. Mhe. Jaji Francis
S.K. Mutungi akiwa na kitambulisho chake mara baada ya kujiandikisha
mapema Leo katika kituo cha Shule ya Msingi Bunge Jijini Dar es salaam.
Picha no.2464 Mwandikishaji
Msaidizi Bi. Maida Ally Yusufu akimsainisha Jaji Mutungi fomu ambazo
zimebeba taarifa zake kwa ajili ya kujiandikisha Leo katika kituo cha
Shule ya Msingi Bunge Jijini Dar es salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: