MWANAMKE ABEBA UJAUZITO KWA MIAKA 14, AJIFUNGUA SALAMA, MTOTO AITWA 'MIRACLE
'Mwanamke wa Nigeria aliyejitambulisha kwa jina la Mercy James amesimulia tukio la ajabu la kujifungua salama mtoto wa kike baada ya kuwa mjamzito kwa kipindi cha miaka 14. Mtoto aliyeamua kumuita ‘Miracle’
Mercy alisimulia.
Anaeleza kuwa alikuwa anatumia madawa mengi ya kutibu magonjwa ya tumbo lakini hali yake haikubadilika.
Hali
iliendelea hivyo hadi ilipofika June 7 mwaka huu ambapo alienda tena
katika hospitali hiyo akiwa analalamika na kusikia kila dalili za kitu
kutaka kutoka mwilini mwake, lakini hakufahamu kuwa hiyo ingekuwa siku
ambayo angejifungua mwanae wa kike, ‘Miracle’.
Mercy aliendelea kusimulia tukio hilo.
Naye
tabibu wa hospitali ya kanisa la ‘Celestial Church Of Christ, Parokia
ya Kadoso ambapo Mercy alijifungulia, aliyetajwa kwa jina la Ajegunle
aliliambia Vanguard kuhusu hatua zote alizopitia hadi kujifungua mwanae
huyo na jinsi yeye binafsi kama mkunga alivyohusika.
Marafiki na ndugu wa mwanamke huyo walitoa ushuhuda pia kwa gazeti la Vanguard la Nigeria kuhusu tukio hilo la kushangaza.
No comments:
Post a Comment