KHAMISI MUSSA)
Mtemvu akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Halmashauri Kuu Jimbo la Temeke kabla ya kufanya uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa Jimbo hilo jana kwenye Ukumbi wa CCM Kata ya 15 Temeke, Dar es Salaam leo.
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke, Sikunjema Shaban. Kushoto ni Mtemvu.
Alhad Mussa akihutubia wakati wa mkutano huo
Katibu wa Mbunge wa Temeke, Ally (katikati) akiwa miongoni mwa wafuasi wa CCM waliohudhuria mkutano huo wa uchaguzi
Mwenyekiti wa CCM Temeke, akifungua mkutano huo wa uchaguzi
Salum Ndende akiwagawia wajumbe karatasi za kura tayari kupiga kura ya kuwachagua Mwenyekiti na Katibu a Jimbo la Temeke
Wajumbe wakipiga kura
Mtemvu akipiga kura
Waskiwa katika picha ya pamoja baada ya uchaguzi
0 comments: