MVUA DAR YALETA TAFLANI

 Baada ya Mvua kunyesha,Maji yametwama katika Barabara ya Uhuru mbele ya Akiba Commercial Bank B
 Magari ya kipishana kwa shida kutokana na Mvua zinazo edelea kunyesha Dar
 Magari yakipishana kwa shida Barabara ya Uhuru mbele ya Barabara ya Uhuru mbele ya Akiba Commercial Bank
 Ni gari likipita kwa shida Kufuatia Mvua zinazoendelea Kunyesha Jijini Dar

 Vijana ambao hufanya Mazoezi siku za IjumaMosi na Ijumapili ( Joging)walimkuta kijana ambaye hua akicheza shule ya Uhuru walifika eneo hilo walimzonga kijana huyo awali alikua mkali baabae akajumuika nao kwa kucheza na vaijana hao














0 comments: