JESHI LA POLISI VISIWANI ZANZIBAR LAKAMATA JAHAZI LENYE MABAHARIA 14.

Jeshi la Polisi visiwani Zanziar ,limekamata Jahazi lililokua na mabaharia 14 Wote raia wa India baada ya kulitilia shaka .Jahazi hilo limekamatwa  likiwa  katikati ya Tanzania bara na Zanzibar na limepelekwa Dsm kwa uchunguzi zaidi.

0 comments: