MAYWEATHER ULINGONI LEO KATIKA PAMBANO LA KWANZA TANGU ATOKE JELA

BAADA ya mwaka mmoja nje ya ulingo na miezi miwili jela, bondia bora kabisa duniani, Mmarekani Floyd Mayweather anarejea ulingoni usiku wa leo kwenye ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas.

Pambano lake la mwisho alipigana na Miguel Cotto na kushinda na leo atapambana na Robert Guerrero, ambaye mwenyewe anajiita The Ghost, yaani Mzimu katika uzito wa Welter Raundi 12.


Fighting shape: Floyd Mayweather weighed in one pound under the welterweight limit at 146lbs
Yuko sawa: Floyd Mayweather alionekana yuko sawa wakati wa kupimzika uzito



The challenger: Southpaw Robert Guerrero is the underdog
Face off: The two fighters are to meet at the MGM Grand in Las Vegas

Utaona: Mabondia hao wakitambiana wakati wa kupima uzito



Entourage: As usual, many others surrounding the two fighters
Hunitishi: Mabondia wakitunishiana vifua wakati wa kupima uzito


Pambano la Mayweather na Guerrero litaonyeshwa live na BoxNation kupitia Sky Channel 437 na Virgin Channel 546 kuanzia saa 7.30 usiku wa leo sawa na saa 9:30 kwa saa za Tanzania.

0 comments: