RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA RAIS MSTAAFU, MKAPA NA JAJI WARIOBA

Rais.  Dkt.  Magufuli akiwa kwenye mazungumzo na rais mstaafu, Benjamin Mkapa Ikulu jijini Dar es Salaam,  Rais pia amekutana na Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba. Rais alikutana na kufanya mazungumzo na rais mstaafu Jakaya Kikwete Siku moja kabla ya kukutana na viongozi hao.
Rais akiwa kwenye mazungumzo na Jaji Warioba

0 comments: