Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (wa pili kushoto), akisadiwa na Rais
wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba, kukata utepe kuzindua
filamu mpya iitwayo ‘I Love Mwanza’ iliyoandaliwa na Lake Zone Youth
Empowerment Foundation kwa kushirikiana na Tropical Media Tanzania Ltd, katika
hafla iliyofanyika jijini Mwanza Jumamosi usiku. Wanaoshuhudia ni Waziri wa
Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (wa watatu kushoto), na Mwenyekiti wa
Chama cha Sanaa za Maonyesho na Waigizaji Tanzania (TDFAA), Mkoani Mwanza,
Anitha Kagemulo. PICHA ZOTE/ JOHN BADI WA Daily Mitikasi Blog |
No comments:
Post a Comment