Wednesday, April 22, 2015

MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU MGENI RASMI KATKA HAFLA ILIYO ANDALIWA NA VIJANA UVCCM

 Mbunge wa Jimbo la Temeke na Mwenyekiti wa Wabunge Mkoa wa Dar es Salaam Abbas Mtemvu  akihutubia  wananchi na Vijana wa UVCCM katika Hafla  iliyoandaliwa na vijana hao baada ya kupongezwa  kwa Diwani wa Kata  ya Sandali Wilbati Tarimo na Mbunge wa Jimbo hilo. Abbas Mtemvu Dar es Salaam. kwa mambo mazuri waliyo fanyiwa vijana hao wa kata ya sandali  (PICHA NA KHAMISI MUSSA) 

Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (wapili kulia)  akiwa na baadhi ya viongozi katika Hafla hiyo ya kupongezwa na vijana wa UVCCM  katika Hafla ya kupongezwa kwa Mbunge wa jimbo hilo na Diwani wake.
Msafara wa Pikipiki wa Vijana wakielekea katika kiwanja cha Sandali ambapo ndipo hafla hiyo ilifanyika
Mbunge wa Jimbo la Temeke na Mwenyekiti wa Wabunge Mkoa wa Dar es Salaam akimgusa nyoka wa kikundi cha Wasanii wa   Hisia Grop   mara baada ya kumaliza kuchezea nyoka huyo kwenye uwanja wa Sandali baada ya Vijana wa   UVCCM katika Hafla iliyoandaliwa na vijana hao wakati wa kupongezwa kwa Diwani wa Kata ya Sandali Wilbati Tarimo na Mbunge wa Jimbo hilo. Abbas Mtemvu (wa pili kulia). 
Msanii wa kikundi cha Fredom cha Mwembeladu Omari Miraji  akitoa  moja ya  shoo yake wakati     wa Hafla iliyoandaliwa na vijana hao wakati wa kupongezwa kwa Diwani wa Kata ya Sandali Wilbati Tarimo na Mbunge wa Jimbo hilo. Abbas Mtemvu 
Msanii wa Kikundi cha Fredomu cha Mwembeladu  Abdala Zuberi akitoa shoo mbele ya mgeni rasmi wakati wa Hafla ya pongezi na shukurani iliyo andaliwa na Vijana wa uvcc kwa Diwani wa Kata hiyo Wilbati Tarimo na Mbunge  Jimbo hilo




















No comments:

Post a Comment