HAFLA YA GRACE KUVISHWA PETE YA UCHUMBA

 Bi harusi mtarajiwa Grace Makwaya katika pozi
 Bi harusi mtarajiwa Grace Makwaya katika pozi akionyesha mtindo wake mara baada ya kupambwa katika saloon ya Nazmeen Mekeup iliyopo makutano ya Barabara ya Uhuru na Mwanza Dar es Salaam  
  Bi harusi mtarajiwa Grace Makwaya katika pozi mara baada ya kuvishwa pete ya uchumba na Mume wake mtarajiwa, hafla iliyofanyika nyumbani kwao biharusi, Yombo Relini Dar es Salaam
 Bi harusi mtarajiwa Grace Makwaya katika pozi
 Bi harusi mtarajiwa Grace Makwaya akipambwa katika saloon ya Nazmeen Mekeup iliyopo makutano ya Barabara ya Uhuru na Mwanza 
 Bi harusi mtarajiwa Grace katika pozi





Bibi wa bi harusi mtarajiwa, Rose Makwaya akifatilia jambo wakati washughuli za taratibu wa utoaji mahari ukiendelea nyumbani kwao na bi harusi Yombo Relini Dar es Salaam

Dada mkubwa wa bwana harusi, Nuru Benedicti akisaidiana na baba mdogo wa bi harusi, Joseph Binamungu kuikunjua shuka 

Dada mkubwa wa bwana harusi, Nuru Benedicti akizungumza jambo na mshenga, Elizeus Munyigo mara walipofika nyumbani kwao bi harusi katik kukamilisha taratibu za mahari

Dada mkubwa wa bwana harusi, Nuru Benedicti akizungumza jambo na mshenga, Elizeus Munyigo na kulia ni shemeji wa Bwana harusi
 Dada mkubwa wa bwana harusi, Nuru Benedicti akimkabidhi pesa baba mdogo wa bi harusi, Joseph Binamungu kati ya moja ya makubaliano katika kukamilisha utaratibu wa  utoaji mahari
 Bwana harusi mtarajiwa, Adam Benedict akimvisha pete mkewe mtarajiwa, Grace Makwaya
 Bwana harusi mtarajiwa akiibusu pete ya mchumba wake, Grace Makwaya  mara baada ya kumvisha
 Bwana harusi mtarajiwa, Adam Benedict  akiwa ni mwenye furaha mara baada ya kumvisha pete mkewe mtarakiwa, Grace Makwaya

 Maharusi watarajiwa katika picha ya pamoja na ndugu na jamaa wa pande zote mbili

Bi harusi mtarajiwa Grace Makwaya katika picha ya pamoja na baba mlezi Dokt, David Makwaya (wa pili kushoto) akiwa na mkewake na kulia ni Mume Mtarajiwa wa bi harusi, Adam Benedict  






 Bwana harusi mtarajiwa Adam Benedict akiwa katika pozi na mkewe mtarajiwa,  Grace Makwaya
 Bwana harusi mtarajiwa Adam Benedict (kushoto) akiwa na familia yake mara baada ya kuwasili nyumbani kwao na bi harusi mtarajiwa Grace Makwaya






0 comments: