Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na
viongozi wengine wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wakiomba dua mara
baada ya ufunguzi wa soko la Konde lililopo Wilaya ya Micheweni, Pemba Januari 5, 2018. (PICHA ZOTE NA OFISI YA ,MAKAMU WA RAIS)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri
wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Zanzibar, Mhe. Hamad Rashid
Mohamed wakati alipowasili Konde tayari kwa ufunguzi wa soko la Konde
lililopo Wilaya ya Micheweni, Pemba.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohamed Aboud Mohamed mara baada ya kuwasili Konde tayari kwa ufunguzi wa soko la Konde
lililopo Wilaya ya Micheweni, Pemba
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akipongezana na viongozi wengine mara baada ya ufunguzi wa soko la Konde lililopo Wilaya ya Micheweni, Pemba.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akipongezana na viongozi wengine mara baada ya ufunguzi wa soko la Konde lililopo Wilaya ya Micheweni, Pemba.
Sehemu
ya wananchi waliohudhuria hafla fupi ya ufunguzi wa soko jipya la Konde
lililopo Konde, Micheweni,Pemba.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akifurahia na viongozi wengine mara baada ya ufunguzi wa soko la Konde lililopo Wilaya ya Micheweni, Pemba.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa hafla fupi ya ufunguzi wa soko la Konde lililopo Wilaya ya Micheweni, Pemba.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: