Ramadhani Kaita ni mmja ya watu walifanikiwa kupata kazi katika kampuni hiyo ,amempongeza Mtemvu kwa kuwaamini na kuwapakazi na leo wanaondoka kuelekea Saudia kwaajili kufanya kazi na amewahamasisha watanzania kufanya kazi , nakuongeza kuwa wataiwakilisha vyema Tanzania wanakoenda kufanya kazi.
KAMPUNI YA BRABVO JOB CENTER YATANGAZA AJIRA KWA WATANZANIA WANAOTAKA KUFANYA KAZI ARABUNI. BAADHI ONDOKA LEO KWENDA SAUDIARABIA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 1:29 PM
Wakala
wa kampuni ya BRAVO JOB CENTRE Abass
Mtevu (kulia) akiwa na baadhi ya
wafanyakazi wanaoenda Saudia Arabi
Na.John Luhende
mwambawahabari
Wakala
wa kampuni ya BRAVO JOB CENTRE Abass
Mtevu amesema watanzania wanao sema wananyanyaswa wanapokwenda kufanya kazi katika nchi za
Kiarabu niwale walioenda kwa njia za
panya na hawanavibali vya kufanya kazi .
Mtemvu atoa
wito huo leo alipo kuwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius
Kambarage Nyerere alipokuwa anawaaga wafanyakazi hao waliopitia katika kampuni hiyo walipita katika usaili uliofanywa na kampuni ya
BRAVO JOB CENTRE
‘’kuna
hisia kuwa wanaoenda
kufanya kazi Arabuni wananyanyasika
mimi nasema labda hao hawakuenda kwa njia halali sisi katika kampuni yetu
ya Bravo Job Centre, watu wote wanaokwenda kupitia kampuni hii hawapati matatizo
yoyote tuna vibali vyote na tuna tambulika
na tuna ofisi Saudia ,Omani na Dubai”
alisema Mtemvu.
Aidha Mtemvu
amewataka watanzania kujitokeza kwa wingi kuomba nafasi za kazi kwaajili ya
kufanyakazi katika nchi za kiarabu na kuweka wazi kuwa watu wanatakiwa ni
pamoja na Mafundi,friji na
viyoyozi,mafundi Caterpilar, madactari wa Mifugo,na maafisa Mauzo (sells
officer) mafundi umeme, wapishi ,na operator wa mashine na madereva.
“Makampuni
ya ajira ni mengi nawakaribisha BRAVO
kesho Jumatatu Chan’gombe waombe
kazi na ofisi yetu nyingine iko Benjamini Mkapa Tower tunazo nafasi nyigi “alisema
.
Kwaupande
wake Afisa masoko wa kampuni hiyo Abudallah Ndauya amewataka watanzania
kuwa watu wakujaribu na kutoziaacha nafasi
hizi zikapita kwa kuwa wanao
uwezo wa kufanyakazi.
Ramadhani Kaita ni mmja ya watu walifanikiwa kupata kazi katika kampuni hiyo ,amempongeza Mtemvu kwa kuwaamini na kuwapakazi na leo wanaondoka kuelekea Saudia kwaajili kufanya kazi na amewahamasisha watanzania kufanya kazi , nakuongeza kuwa wataiwakilisha vyema Tanzania wanakoenda kufanya kazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: