RAIS MAGUFULI ATETA NA MWAKILISHI MKAZI BENKI YA DUNIA,AENDESHA BARAZA LA MAWAZIRI
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 10:55 AM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Magufuli
mapema leo Desemba 4,2017, amekutana na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya
dunia nchini Bi. Bella Bird aliyekutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu
jijini Dar es salaam.
Rais Dk. Magufuli pia ameweza kuendesha kikao cha Baraza la Mawari Ikulu hapo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Magufuli
akiwa na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya dunia nchini Bi. Bella Bird
aliyekutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo
Novemba 4, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Magufuli
akiagana na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya dunia nchini Bi. Bella Bird
aliyekutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo
Novemba 4, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Magufuli
akiendesha kikao cha Baraza la Mawari Ikulu jijini Dar es salaam leo
Novemba 4, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Magufuli
akiendesha kikao cha Baraza la Mawari Ikulu jijini Dar es salaam leo
Novemba 4, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: