MKUU WA MAJESHI ATEMBELEA MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA DAR ES SALAAM
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 8:42 AM
Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo (kushoto) akizungumza na wananchi wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mashujaa Mnazi Mmoja Dar es Salaam jana, ambapo walishiriki kutoa huduma mbalimbali za kijamii.
Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo akizungumza na wanamuziki wa Bendi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Mwenge Jazz wakati wa maadhimisho Siku ya Mashujaa Mnazi Mmoja Dar es Salaam jana, ambapo walishiriki kutoa huduma mbalimbali za kijamii. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: