WAISLAMU KENYA: SERIKALI YA JUBILEE ISITUMIE SUALA LA UHURU WA RAMADHANI KATIKA KAMPENI, NI HAKI YA KILA MKENYA

Shakhsia mbalimbali wa Kiislamu nchini Kenya, wameitaka serikali kuwahakikishia Waislamu usalama wa kutosha ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani baada ya serikali hiyo kuondoa hali ya hatari katika maeneo ya mpakani na Somalia.
Viongozi hao wa Kiislamu wameionya serikali kutumia suala hilo kwa ajili ya kujisafisha katika kampeni za uchaguzi, huku wakisisitiza kuwa, uhuru wa kufanya ibada na uhuru kwa ujumla ni haki ya kila Mkenya na sio zawadi.
Vijana waliouawa Mandera, Kenya kwa kuhusishwa na genge la ash-Shabab
Maeneo ya mpakani mwa Kenya na Somalia yamekuwa katika hali ya hatari kwa muda wa miezi kadhaa sasa tangu mwishoni mwa mwaka jana.
Tujiunge na mwandishi wetu wa jijini Mombasa Seifullah Murtadha kwa taarifa kamili………../
Magaidi wanaodhaniwa kuwa wanachama wa ash-Shabab

0 comments: