ASKARI WA JESHI LA POLISI KATIKA AJALI USO KWA USO DAR ES SALAAM

Askari wa Jeshi la Polisi  wakipima ajali iliyohusishwa na  Gari lenye namba za Usajili  namba T 757 BNS na T 876 DEJ iliyotokea jana jioni eneo la  Ngoroka  Kata ya Towangoma Mkoa wa Dar es Salaa jana jioni baada ya mwenyegari lenye namba za usajili T 757 BNS kutaka kuyapita magati yaliyokuwa mbele yake na kujikuta anashindwa kurudi upande wake wa kushoto wakati alipokuwa akitokea upande wa Kongowe akiwa katika mwendo wa kasi na mwenye gari lenye namaba za usajili  T 876 DEJ akitokoa upande wa Kigamboni, Dereva wa  Gari lenye namba za Usajili  namba T 757 BNS inasemekana alikimbia na kulitelekeza gari hili na majeruhi mmoja kukimbizwa Hospitali. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

 

 Mmoja wa majeruhi akiwa hajitambui katika Gali lenye nama za usajili, T 863 CEH  ambapo ametowa msaada wa kumuwahisha Hospitali majeruhi huyo
 Dereva wa gari lenye namba za usajili T 876 DEJ akitowa maelezo kwa Askari wa Usalama barabarani






0 comments: