WANAMTANDAO WA DAWA ZA KULEVYA WABUNIFU WA KILA NJIA ZA KUSAMBAZA –KAMISHINA SIANGA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 12:04 AM
Kamishina
wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini,Rogers Siangaakizungumza
katika hafla ya timu ya Serengeti Boys chini ya miaka 17 kutembelea
kituo cha watu waliodhirika na matumizi ya dawa za kulevya (Sober
Hoouse)kilichopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani jana.
Sheikh
wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum akizungumza katika hafla
Timu ya Vijana chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) kutembelea kituo cha
watu walioadhirika na matumizi ya dawa za kulevya (Sober
Hoouse)kilichopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani juu ya viongozi wa dini
walivyo mstari wa mbele katika kupambana na dawa za kulevya.
Rais
wa TFF, Jamal Malizi akizungumza katika hafla Timu ya Vijana chini ya
miaka 17 (Serengeti Boys) kutembelea kituo cha watu waliaodhirika na
matumizi ya dawa za kulevya (Sober Hoouse)kilichopo Wilaya ya Bagamoyo
mkoani Pwani.
Mkurugenzi
wa Sober House, Al-Karim Banji akizungumza katika hafla Timu ya Vijana
chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) kutembelea kituo cha watu
waliodhirika na matumizi ya dawa za kulevya (Sober Hoouse)kilichopo
Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. (Picha zote na Emmanuel Massaka Globu
ya Jamii).
Sheikh
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum (kushoto) akipeana mkono wa
shukrani na Rais wa TFF, Jamal Malizi katika hafla Timu ya Vijana chini
ya miaka 17 (Serengeti Boys) kutembelea kituo cha watu walioadhirika na
matumizi ya dawa za kulevya (Sober Hoouse)kilichopo Wilaya ya Bagamoyo
mkoani Pwani.
Kamishina
wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini,Rogers Siangaakisalimina
na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum katika hafla ya
Timu ya Serengeti Boys chini ya miaka 17 kutembelea kituo cha watu
waliodhirika na matumizi ya dawa za kulevya (Sober Hoouse)kilichopo
Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Kamishina
wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini,Rogers Siangaakimkabidhi
cheti , Rais wa TFF, Jamal Malizi katika hafla Timu ya Vijana chini ya
miaka 17 (Serengeti Boys) kutembelea kituo cha watu walioadhirika na
matumizi ya dawa za kulevya (Sober Hoouse)kilichopo Wilaya ya Bagamoyo
mkoani Pwani.
Kamishina
wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini,Rogers Sianga
akimkabidhi cheti , Mwakilishi Michuzi Media Group,Emmanuel Massaka
katika hafla ya Timu ya Vijana chini ya miaka 17 (Serengeti Boys)
kutembelea kituo cha watu waliodhirika na matumizi ya dawa za kulevya
(Sober Hoouse)kilichopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Kamishina
wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini,Rogers Sianga akiwa
katika picha ya pamoja wachezaji wa Timu ya Vijana chini ya miaka 17
(Serengeti Boys) baada timu hiyo kutembelea kituo cha Sober House jana
(Picha zote na Emmanuel Massaka Globu ya Jamii).
.Kocha
Mkuu wa Serengeti Boys, Kim Poulsen (kushoto)akimkabidhi mipira na jezi
Mkurugenzi wa Sober House, Al-Karim Banji katika katika hafla ya Timu
ya Vijana chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) kutembelea kituo cha watu
waliodhirika na matumizi ya dawa za kulevya (Sober Hoouse)kilichopo
Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Wadau mbalimbali
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
Kamishina
wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini,Rogers Sianga amesema
kuwa vita ya kupambana na dawa za kulevya ni kubwa kutokana na kila siku
watu wanabuni njia mpya.
Vita
ya dawa za kulevya sio lelema kutokana na kuwa watu ambao wana mbinu
nyingi za kufanya hivyo, lakini watakamatwa wote na hatuingii kichwa
kichwa katika kufanya kazi hiyo.
Akizungumza jana katika hafla ya Timu ya Vijana chini ya miaka 17 (Serengeti Boys)
kutembelea kituo cha watu walioathirika na matumizi ya dawa za kulevya
(Sober House) kilichopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
“Watu
watano tumewakamta na mmojawapo aliyekuwa anasambaza dawa za kulevya
Tanzania Bara na Zanzibar na jumla zaidi watu 11000 wamekamatwa
’’amesema Sianga.
Sianga
amesema mtandao wote unaofanya biashara ya dawa za kulevya wameukamata,
na wanaendelea kupokea taarifa mbalimbali za kuweza kutokomeza mtandao
wa kuingiza dawa hizo.
Amesema
wanatumia njia tatu katika kupata taarifa za watu wanaofanya biashara
hiyo moja ni taarifa za watu za moja kwa moja ya pili utafiti pamoja
wananchi.
Aidha
amesema kuwa watashirikiana na watu wa sober house katika mihadhara ya
kuelimisha juu madhara ya dawa za kulevya kwa wale waliotumia na
wamepona kwa sasa.
Sianga amesema anaona furaha kuona viongozi wa dini wako mstari wa mbele na kufanya atembee kifua mbele.
Kamishina
huyo ametoa msaada wa Ngamizi Moja ‘Komputa’kuajili kuendeshea kazi
katika kituo hicho, Mwenyekiti wa Chama cha Mpira Miguu Mkoa wa Pwani
Hassan Hassanoo ametoa Ekari moja pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malizi
ametoa fedha taslimu Sh.Milioni 1.2 sambamba na mipira na jezi.
Mkurugezi
wa Sober House , Al-Karim Banji amesema kuwa changamoto iliyokuwa mbele
yake katika kituo hicho ni kukosa eneo ambalo linaweza kukidhi mahitaji
kwa wanaume na wanawake.
Amesema kituo kinapokea wanaume tu wakati wapo wanawake walioathirika na hawajaweza kupata msaada huo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: