SERIKALI KUSHIRIKIANA NA CHAMA CHA MADAKTARI WA AFYA YA KINYWA NA MENO

 Naibu Waziri wa TAMISEMI, Suleman Jafo (katikati), akihutubia katika  Maadhimisho ya Kilele cha Afya ya Kinywa na Meno Kitaifa Mkoani Dodoma leo, katika eneo la Nyerere square Mkoani hapo, kulia ni Rais wa Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania, Dkt. Lorna Carneiro, kushoto ni Kaimu Mganga Mkuu Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, Dkt. Mzee Nassoro (PICHA ZOTE NA KHMISI MUSSA)
Baadhi ya wasanii wakitowa burudani katika maadhimisho hayo
 Naibu Waziri wa TAMISEMI, Suleman Jafo (kulia) akisindikizwa na  Rais wa Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania, Dkt. Lorna Carneiro baada ya Maadhimisho ya Kilele cha Afya ya Kinywa na Meno Kitaifa Mkoani Dodoma leo, katika eneo la Nyerere square
 Naibu Waziri wa TAMISEMI, Suleman Jafo akiagana na Daktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili , Dkt. Anold  Mtenga (kushoto) mara baada ya Maadhimisho ya Kilele cha Afya ya Kinywa na Meno Kitaifa Mkoani Dodoma leo, katika eneo la Nyerere square
 Naibu Waziri wa TAMISEMI, Suleman Jafo (wa nne) katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mbalimbali mara baada ya kufunga Maadhimisho ya Kilele cha Afya ya Kinywa na Meno Kitaifa Mkoani Dodoma leo, katika eneo la Nyerere square ambapo zaidi ya wananchi 641 wameonwa
Rais wa Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania, Dkt. Lorna Carneiro (kushoto) akimpatia dawa  ya Meno Kaimu Mganga Mkuu Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, Dkt. Mzee Nassoro
Daktari wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, Athanas Masele (wa pili kulia) akimfanyia uchunguzi wa kinywa   mwandishi wa habari wa Gazeti la Tanzania Daima  wa kituoni cha mkoani humo, Hamida Ramadhan wakati wa Maadhimisho ya Kilele cha Afya ya Kinywa na Meno Kitaifa Mkoani Dodoma leo

Daktari wa Kinywa na Meno wa Hospitali inayo milikiwa na Kanisa la Anglikana ya mjini humo, Dkt. Magoma akimfanyia uchunguzi wa kinywa Diwani Kata ya Madukani Mtaa wa Relini, Saphia Samhonda wakati wa  Maadhimisho ya Kilele cha Afya ya Kinywa na Meno Kitaifa Mkoani Dodoma leo,
Daktari wa Hospitali ya Taifa Muhumbili ya Jijini Dar es Salaam, Dkt. Deogratias Kilasara akielekeza jambo wakati  wa  Maadhimisho ya Kilele cha Afya ya Kinywa na Meno Kitaifa Mkoani Dodoma leo,
Wananchi wakiwa katika Maadhimisho hayo





























0 comments: