RAIS DK. SHEIN AWASILI INDONESIA, KUHUDHURIA MKUTANO WA IORA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 9:27 AM
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein
akiwa katika ukumbi wa watu mashuhuri, baada ya kuwasili Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Soekarno -Hatta Jakarta nchini humo, kuhudhuria
Mkutano wa Jumuiya ya Nchi zinazopakana na Bahari ya Hindi (IORA)
kumwakilisha Rais John Magufuli
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: