MWENYEKITI WA CCM, RAIS DK. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA USALAMA NA MAADILI, LEO
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 11:45 AM
Mwenyekiti
wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa
CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein, alipowasili kuendesha
kikao cha Usalama na Maadili, kilichofanyika leo Chamwino, Dodoma.
Katikati ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Mwenyekiti
wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa CCM,
Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein, alipowasili kuendesha kikao
cha Usalama na Maadili, kilichofanyika leo Chamwino, Dodoma.
Mwenyekiti
wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akizungumzana Makamu Mwenyekiti wa CCM,
Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein, alipowasili kuendesha kikao cha
Usalama na Maadili, kilichofanyika leo Chamwino, Dodoma. Kulia ni
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Makamu wa Pili wa Rais
wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitoa maelezo ya ufunguzi wa kikao hicho
Dk. Magufuli akiendesha kikao hicho
Dk. Magufuli, Dk. Sheini na Makamu Mwenyekiti wa CCM -Bara, Philip Mangula wakifurahia jambo wakati wa kikao hicho
Kikao kikiendelea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: