MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM DODOMA:MAANDALIZI YAKAMILIKA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 10:09 AM
NA
K-VIS BLOG, DODOMA
MAANDALIZI
ya Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi CCM, yamefikia pazuri ambapo
Machi 12, 2017 Halmashauri Kuu ya Chama hicho kinachotawala, itakutana na
hatimaye Machi 12, Mkutano Mkuu Maalum wa chama hicho utafanyika kwa lengo la
kufanyia marekebisho katiba yake ya mwaka 1977.
Leo
Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Tanzania Bara, Rorick Mpogolo na Katibu wa Halmashauri
Kuu, Itikadi, na Uenezi, Humphrey Polepole walifanya ukaguzi wa mwisho mwisho
wa ukumbi utakaotumika kufanyia mkutano huo. Ukumbi huo ni ule wa Mikutano ya
Kimataifa unaomilikiwa na chama hicho ulioko nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma.
Hapa ndipo utakapofanyika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM mjini Dodoma Machi 12-13, 2017
Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole
akiwa ameongozana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Jitegee, Antony Machunde walipokuwa
wakikagua ukumbi wa Mkutanao Mkuu maalum wa CCM, utakaoanza mwishononi mwa
wiki.
Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole
akiwa ameongozana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Jitegee, Antony Machunde walipokuwa
wakikagua ukumbi wa Mkutanao Mkuu maalum wa CCM, utakaoanza mwishononi mwa
wiki.
Naibu katibu Mkuu CCM (Bara), Rodrick Mpogolo
akimsikiliza Katibu Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole walipokuwa
wakipanga mikakati kufanikisha mkutano mkuu wa CCM uatakaofanyika katika ukumbi
wa mikutano, Dodoma leo Machi 10, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: