MBUNGE WA JIMBO LA TANGA AENDELEA KUTATUA KERO ZA WANANCHI JIMBONI KWAKE,AKABIDHI BAISKELI KWA MLEMAVU

Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF), Alhaj Mussa Mbaruku akiendeseha baiskeli hiyo kabla ya kumkabidhi mkazi wa Makorora Mbwana Hamisi leo kwa ajili ya matumizi yake kushoto ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Makorora Ally Kivurande 
Mbunge wa Jimbo la Tanga(CUF), Alhaj Mussa Mbaruku akizungumza na wananchi wa Makorora Jijini Tanga leo wakati wa Hafla ya Makabidhiano hayo
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF), Alhaj Mussa Mbaruku kushoto akimkabidhi Baiskeli Mlemavu wa miguu Mbwana Hamisi Mkazi wa Makorora Jijini Tanga ili iweza kumsaidia kutembea kwenye shughuli zake ambapo baiskeli hiyo ina thamani ya zaidi ya milioni moja.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Makorora Ally Kivurande aliyevaa kanzu akimshukuru Mbunge huyo aliyesimama kulia akisalimia na mama mzazi wa Mlemavu huyo Mariam John
Mbunge wa Jimbo la Tanga(CUF),Alhaj Mussa Mbaruku akisalimiana na Mama Mzazi wa Mlemavu wa Miguu Mariam John mara baada ya kumkabidhi mwanae baiskeli ya kutembelea


Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF), Alhaj Mussa Mbaruku akisisitiza jambo kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Makorora Ally Kivurande
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF),Alhaj Mussa Mbaruku akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Makorora Kata ya Makorora Jijini Tanga
 Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF), Alhaj Mussa Mbaruku wa pili kushoto akimsikiliza mkazi wa Makorora Jijini Tanga mara baada ya kumalizika zoezi la kukabidhi Baiskeli .
(Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha).

0 comments: