MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA SWEDEN NA COMORO NCHINI,LEO IKULU JIJINI DAR
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 11:57 AM
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Balozi wa Sweden nchini Mhe. Katarina Rangnitt,ofisini
kwake Ikulu jijini Dar es Salaam. (Picha kwa Hisani ya Ofisi ya Makamu
wa Rais).
Picha ya pamoja
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Balozi wa Comoro hapa nchini Mhe. Dkt. Ahamada El
Badaoui, ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam. (Picha kwa Hisani ya
Ofisi ya Makamu wa Rais)
Picha ya pamoja
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: