SIMU ILIYOKUWA IKITUMIWA NA ADOLF HITLER IMEUZWA KWA DOLA 240,000
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 7:25 AM
Simu
iliyokuwa ikutumiwa na kiongozi wa Kinazi wa Ujerumani, Adolf Hitler,
wakati wa vita vya pili vy dunia, imeuzwa kwa dola 240,000 katika mnada
uliofanyika nchini Marekani. Bei ya chini ilianzia dola 100,000 na
hatimaye kununuliwa na mtu aliyekataa kutajwa jina kwa dola 243,000.
Simu hiyo iliyoandikwa jina la Adolf Hitler, ilipatikana katika handaki
la mjini Berlin, alimokuwa amejificha Hitler wakati wa vita vya
pili,1945.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: