RC MAKONDA AWATAJA VIGOGO HAWA WAKITUHUMIWA KUJIHUSISHA NA MADAWA...WAPO GWAJIMA, MBOWE,MANJI NA IDDI AZAN
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 9:29 AM
Mkuu wa
Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametaja jumla ya majina 65
wanaotakiwa kufika kituo kikuu cha polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam
kwaajili ya mahojiano.Akizungumza
kwenye mkutano na vyombo vya habari ofisini kwake asubuhi hii, Makonda
alisema hiyo ni awamu ya pili baada ya majina ya awali yaliyowahusisha
wasanii na askari polisi kuitwa polisi kwa ajili ya kuhojiwa kwa tuhuma
mbalimbali.Baadhi
ya majina ya washukiwa hapo wanaotakiwa kuripoti polisi Februari 10 ni
pamoja na Mbunge wa Hai, Freemani Mbowe, Mchungaji Josephat Gwajima na
aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni, Iddi Azzan.Wengine
ni Mmiliki wa Slipway, Yach Club, Mwinyi Machata, mmiliki wa Seacliff
Casino, Husein Pambakali, wamiliki wote wa Casino, Kiiza, Chizega na
wengineo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: