RAZA AMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI VITA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA

 Kada wa Chama cha Mapinduzi na Mwakilishi wa Jimbo la Uzini, wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam, kuhusu kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika vita dhidi ya dawa za kulevya nchini.
 Kada wa Chama cha Mapinduzi na Mwakilishi wa Jimbo la Uzini, wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari - MAELEZO leo Jijini Dar es Salaam, kuhusu kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika vita dhidi ya dawa za kulevya nchini.Picha zote na: Frank Shija – MAELEZO.

0 comments: