RAIS DKT MAGUFULI AFANYA ZIARA YA GHAFLA KUTEMBELEA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA NDEGE WA JULIUS NYERERE TERMINAL THREE (III), JIJINI DAR ES SALAAM
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 9:31 AM
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipofanya ziara ya
kustukiza katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa Terminal III kuona maendeleo ya
ujenzi unaondelea leo Jumatano February 8, 2017.(PICHA NA IKULU)
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika picha ya
pamoja na baadhi ya wahandisi na makadrasai alipofanya ziara ya kustukiza katika
uwanja wa Ndege wa Kimataifa Terminal III kuona maendeleo ya ujenzi unaondelea
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipofanya ziara ya
kustukiza katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa Terminal III kuona maendeleo ya
ujenzi unaondelea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: