MAJALIWA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 40 YA CCM YALIYOANDALIWA NA CCM MKOA WA DODOMA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 8:58 AM
Baadhi ya
washiriki wa Maadhimisho ya Ndani ya Mikaka 40 ya CCM yaliyoandaliwa na CCM
mkoa wa Dodoma wakimpungia Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipowasalimia kwenye Kituo cha
Mikutano cha Dodoma (DODOMA CONVENTION CENTER), Februari 5, 2017. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Spika wa Bunge, Mh. Job Ndugai, katika Maadhimisho
ya Miaka 40 ya CCM yaliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Dodoma
(DODOMA CONVETION CENTER) Februari 5, 2017.
Mjumbe
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana
na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kwenye Kituo cha Mikutano cha Dodoma convetion Center) , Februari 5, 2017.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Anne Kilango, Mbunge wa Kuteuliwa
na Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu John Malecela (katikati) Maadhimisho
ya Miaka 40 ya CCM yaliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Dodoma
(DODOMA CONVETION CENTER) Februari 5, 2017.
Mjumbe
wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwasalimia
wana CCM walioshiriki katika Maadhimisho ya Ndani ya Miaka 40 ya CCM
yaliyoandaliwa na Mkoa wa Dodoma kwenye Kituo cha Mikutano cha
Dodoma (Dodoma Convention Center) Februari 5, 2017.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: