Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, alipowasili katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam |
Wakienda eneo la kufanyia mazungumzo |
Wakiwasili eneo la mazungumzo Ofisini kwa Katibu Mkuu wa CCM. |
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akizungumza na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. |
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsindikiza mgeni wake, Waziri Makuu Majaliwa Kassim Majaliwa aliyekwa akiondoka baada ya mazungumzo yao, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba |
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsindikiza mgeni wake, Waziri Makuu Majaliwa Kassim Majaliwa aliyekwa akiondoka baada ya mazungumzo yao. |
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimuaga mgeni wake, Waziri Makuu Majaliwa Kassim Majaliwa aliyekwa akiondoka baada ya mazungumzo yao. |
Waziri Mkuu akienda kupanda gari lake tayari kuondoka kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, baada ya mazungumzo na Kinana (kulia) |
Gari la Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa likiondoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba.(PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO) |
0 comments: