WAZIRI MKUU MAJALIWA AHUTUBIA WANANCHI WA MAKAMBAKO MKOANI NJOMBE
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 4:32 AM
Wananchi wa Makambako mkoani Njombe wakishangilia wakati Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Polisi
Januari 19, 2017. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa polisi katika mji wa
Makambako akiwa katika ziara ya mkoa wa Njombe Januari 19, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akikagua vibanda vya biashara vya Magegele vinavyomilikiwa
na Halmashauri ya Mji wa Makambako akiwa katika ziara ya mkoa wa
Njombe Januari 19, 2017
Wananchi wa Makambako mkoani Njombe wakimsikiliza Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Polisi
Januari 19, 2017.
Wananchi wa Makambako mkoani Njombe wakimsikiliza Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Polisi
Januari 19, 2017.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: