WACHIMBAJI WOTE 14 WALIOFUKIWA KATIKA MGODI WA RZ MKOANI GEITA WAOKOLEWA WAKIWA HAI
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 12:49 PM
Wachimbaji
wa Madini ya Dhamahbu 14 waliofukiwa na kifusi katika mgodi wa RD
Nyarugusu mkoani Geita hatimaye wameokolewa wote wakiwa hai kama
wanavyoonekana baadhi wakiwa wamelazwa chini mara baada ya kufukuliwa
katika shimo la mgodi huo na hizi ni baadhi ya picha zilizorushwa na
mitandao mbalimbali zikionesha wachimbaji hao wakiwa wameokolewa endelea
kufuatilia tukio hili tutakuletea taarifa zaidi baadaye kupitia
hapahapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: