TRENI YA RELI YA KATI MAARUFU DELUX YAPATA AJALI MKOANI PWANI IKITOKEA KANDA YA ZIWA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 12:41 PM
Treni
ya abiria ya Shirika la Reli (TRL) inayofanya safari zake kutoka
Dar-Mwanza na Kigoma almaarufu Delux imepata ajali jioni hii ikielekea
Dar es Salaam, ajali hiyo imetokea katika mkoa wa Pwani bado
haijajulikana ni kitu gani kimesababisha ajali hiyo tunaendelea
kufuatilia ili kujua chanzo cha ajali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: