TRENI YA RELI YA KATI MAARUFU DELUX YAPATA AJALI MKOANI PWANI IKITOKEA KANDA YA ZIWA

tre1

Treni ya abiria ya Shirika la Reli (TRL)  inayofanya safari zake kutoka Dar-Mwanza na Kigoma almaarufu Delux imepata ajali jioni hii ikielekea Dar es Salaam, ajali hiyo imetokea katika mkoa wa Pwani bado haijajulikana ni kitu gani kimesababisha ajali hiyo tunaendelea kufuatilia ili kujua chanzo cha ajali.
tre4
tre2

0 comments: