RAIS DKT. MAGUFULI AWASALIMIA WAKAZI WA BUKOBA MJINI, MULEBA NA MUGANZA MKOANI GEITA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 1:19 PM
Rais Dkt.
John Pombe Magufuli akizungumza na Wakazi wa Bukoba mjini mara baada ya
kumaliza ziara yake ya siku mbili mkoani Kagera.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wakazi wa Muleba mkoani Kagera
mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili mkoani humo.
Rais Dkt.
John Pombe Magufuli akizungumza na Wakazi wa Muganza Wilayani Chato
mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili mkoani Kagera. (PICHA NA
IKULU)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: