RAIS BUSH NA MKEWE WALAZWA HOSPITALI

Rais wa zamani wa Marekani George Bush na mkewe Barbara
Rais wa zamani wa Marekani George Bush na mkewe Barbara
Rais mstaafu wa Marekani George HW Bush aliyekuwa amelazwa hospitalini huko mjini Texas tangu Jumamosi, amepelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi.
Baada ya kutibiwa ugonjwa wa homa ya mapafu, Bush mwenye umri wa miaka 92 sasa anaendelea vizuri.
Mke wake Barbara, amelazwa katiaka hospitali hiyo hiyo kama tahadhari kwa sababu ya uchovu.

0 comments: