Rais wa zamani wa Marekani George Bush na mkewe Barbara
Rais
mstaafu wa Marekani George HW Bush aliyekuwa amelazwa hospitalini huko
mjini Texas tangu Jumamosi, amepelekwa katika chumba cha wagonjwa
mahututi.
Baada ya kutibiwa ugonjwa wa homa ya mapafu, Bush mwenye umri wa miaka 92 sasa anaendelea vizuri.
Mke wake Barbara, amelazwa katiaka hospitali hiyo hiyo kama tahadhari kwa sababu ya uchovu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: