POLEPOLE AKUTANA NA MAOFISA KUTOKA UBALOZI WA MAREKANI LEO JIJINI DAR ES SALAAM


Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole akizungumza na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uchumi na Siasa katika Ubalozi wa Marekani hapa nchini, Marilyn Gayton (kushoto), Katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo Janauari 24, 2017. Wapili kulia ni Ofisa Habari wa Ubalozi huo, Lauren Ladenson. Wanaotazama Kamera ni Maofisa Waandamizi kutoka Idara za Siasa na Ushirikiano wa Kimataifa na Idara ya Itikadi na Uenezi
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole akifafanua jambo wakati akizungumza na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uchumi na Siasa katika Ubalozi wa Marekani hapa nchini, Marilyn Gayton (kulia), Katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Wapili kulia) ni Ofisa Habari wa Ubalozi huo, Lauren Ladenson.
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole akifafanua jambo wakati akizungumza na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uchumi na Siasa katika Ubalozi wa Marekani hapa nchini, Marilyn Gayton, Katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. 
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole akifafanua jambo wakati wa mazungumzo hayo. 
 Mazungumzo yakiendelea

0 comments: