MADAKTARI BINGWA WA MOYO YA TAASISI YA MOYO YA JAKAYA KIKWETE (JKCI) KWA KUSHIRIKIANA NA MADAKTARI-AFRIKA KUTOKA MAREKANI WATOA HUDUMA YA KUZIBUA MISHIPA YA MOYO ILIYOZIBA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 10:37 PM
Madaktari Bingwa wa Moyo wa Taasisi
ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Madaktari Afrika wa
nchini Marekani wakitoa huduma kwa mgonjwa ya kuzibua mshipa wa moyo
uliokuwa umeziba bila ya kupasua kifua (Catheterization). Kulia ni Dkt.
Peter Kisenge, akifuatiwa na Dkt. Peter O’brien na kushoto ni Afisa
Muuguzi Ayoub Mchau.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: