Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Ali Seif Idd akisalimiana na wana CCM katika mkutano huo kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana. (PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO) |
Katibu
Mkuu wa CCM,Andulrahman Kinana akimnadi Mgombea wa Ubunge jimbo la
Dimani Juma Ali Juma, katika uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi mdogo wa
Ubunge katika jimbo hilo, mjini Zanzibar.
Katibu
Mkuu wa CCM akihutubia wananchi katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za
CCM za uchaguzi mdogo jimbo la Dimani, Zanzibar, uliofanyika jana
Katibu wa
NEC Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, akisalimia wananchi
alipotambulishwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, katika
mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM za uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo
la Dimani, Zanzibar.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo, akisalimia wananchi
alipotambulishwa naKatibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, katika
mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM za uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo
la Dimani, Zanzibar.
Wananchi
wakishangilia wakati wa mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM za
uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Dimani, Zanzibar.
Katibu wa
NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu, Ngemela Lubinga,
akisalimia wananchi alipotambulishwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman
Kinana, katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM za uchaguzi mdogo
wa Ubunge Jimbo la Dimani, Zanzibar, jana.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Vuai Ali Vuai akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Kinana
Baadhi ya wanachama wa CCM wakiwa katika mkutano huo wa uzinduzi wa Kampeni jimbo la Dimani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: