RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN ATOA SALAM ZA MWAKA MPYA WA 2017

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa salamu za mwaka mpya wa 2017 kwa Wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla, ambapo ameuombea kuwa mwaka wa mafanikio na Amani. Salamu hizo alizotoa leo Desemba 31, 2016, katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,(Picha na Ikulu.)

0 comments: