MAANDALIZI YA MAZISHI YA MAREHEMU MPOKI BUKUKU NYUMBANI KWA FAMILIA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 11:37 AM
Mkurugenzi
wa Mtandao wa Fullshangweblog Bw. John Bukuku akitia saini kitabu cha
maombolezo ya kifo cha Marehemu Mpoki Bukuku Nyumbani kwao Msalato nje
kidogo ya mji wa Dodoma aliyefariki hivi karibuni jijini Dar es salaam
Mpiga
picha mkuu wa Magazeti ya Serikali TSN Daily News na Habari Leo Bw.
Mohamed Mambo akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Marehemu
Mpoki Bukuku Nyumbani kwao Msalato nje kidogo ya mji wa Dodoma
aliyefariki hivi karibuni jijini Dar es salaam.
Waandishi wakiwa kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiwa katika maombolezo ya kifo hicho.
Jeneza la mwili wa marehemu likiwa katika viwanja vya nyumbani kwa familia yake.
Waombolezaji mbalimbali wakiwa katika majonzi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: