ANGALIA MATOKEO YA MECHI ZOTE ZILIZOCHEZWA JANA


article-2574068-1C10556200000578-473_634x396
Ujerumani wakishangilia goli lao dhidi ya Chile
Ronaldo akipambana na kuweka rekodi ya mabao dhidi ya Cameroon walioizabua 5-1
Messi alishindwa kuibeba Argentina dhidi ya Romania
Italia walitepeta kwa Hispania 1-0, Diego Costa akiichezea timu yake hiyo kwa mara ya kwanza
Sturridge akishangilia bao liliuloibeba England jana
UJERUMANI usiku wa jana imefanikiwa kuizabua Chile kwa kuwalaza bao 1-0, huku England nayo ikipata ushindi kama huo kwa Denmark, na Brazili ikiifanyizia Afrika Kusini kwa kuifunga kwao mabao 5-0.
Bao la Ujerumani katika mechi yake na Chile lilifungwa na Mario Gotze aliyeshirikiana vyema na Mesut Ozil.
Matokeo mengine ya michezo ya kirafiki ya kimataifa inayotambuliwa na FIFA iliyochezwa jana na alfajiri ya leo Hispania iliilaza Italia baop 1-0 na kudhihirisha haikuiotea kwenye Fainali za Ulaya walipoisasambua mabao 4-0 mpaka kumfanya Mario Balotelli kumwaga chozi.
Mexixo na Nigeria zenyewe zilishindwa kufungana, Ivory Coast ikitoka sare ya mabao 2-2  na Belgiaum, huku Ureno ikiifumua Cameroon kwa mabao 5-1 Cristiano Ronaldo akifunga mawili na kuweka rekodi ya kuwa mfungaji wenye mabao mengi kwa timu ya taifa lake akimzidi Pauleta.
amabaoUshirikiano wa kiungo wa Bayern Munich Mario Gotze na kiungo wa Arsenal Mesut Ozil ulizaa matunda jana usiku katika mchezo wa kirafiki baina ya Ujerumani dhidi ya Chile.
Wachezaji wawili walishirikiana vizuri katika goli la ushindi lilofungwa na Gotze kutoka na pasi nzuri ya mwisho ya Ozil. Mchezo ulimalizika kwa matokeo ya 1-0.

Matokeo Mengine ni kama ifuatavyo
Japan     4 - 2     New Zealand     
Iran     1 - 2     Guinea     
Russia     2 - 0     Armenia     
Bulgaria     2 - 1     Belarus     
South Africa     0 - 5     Brazil     
Algeria     2 - 0     Slovenia    
Namibia 1-1 Tanzania
Greece     0 - 2     Korea Republic     
Hungary     1 - 2     Finland     
Montenegro     1 - 0     Ghana     
Czech Republic     2 - 2     Norway     
Israel     1 - 3     Slovakia     
Bosnia-Herzegovina     0 - 2     Egypt     
Cyprus     0 - 0     Northern Ireland     
Colombia     1 - 1     Tunisia     
Turkey     2 - 1     Sweden     
Romania     0 - 0     Argentina         
Ukraine     2 - 0     United States     
Austria     1 - 1     Uruguay     
Switzerland     2 - 2     Croatia     
Germany     1 - 0     Chile     
Republic of Ireland   1 - 2     Serbia     
Belgium     2 - 2     Côte d'Ivoire     
Poland     0 - 1     Scotland     
Wales     3 - 1     Iceland     
France     2 - 0     Netherlands     
England     1 - 0     Denmark     
Australia     3 - 4     Ecuador     
Portugal     5 - 1     Cameroon     
Spain     1 - 0     Italy     
Honduras     2 - 1     Venezuela     
Mexico     0 - 0     Nigeria         
Costa Rica     2 - 1     Paraguay

0 comments: